Rais Dkt. Samia azindua Tume ya Kutathimini Mgogoro Hifadhi ya Ngorongoro


RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.



Na Mwandishi wetu.


RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Feb 20, 2025, amezindua Tume ya Rais ya Kutathimini kuhusu Masuala ya Mgogoro wa ardhi ya eneo la Hifadhi ya Ngorongoro pamoja na Tume Rais ya Kutathimini zoezi la Uhamani wa hiari wa  wakazi wa eneo la Hifadhi ya Ngorongoro, Ikulu Jijini Dar es Salaam.


*Source:Uhuru online*


Mwisho.








Je, una Tangazo, Picha za Matukio, Taarifa au Habari ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi 0746057557 au 0765402289 au Email : simiyupresstz@gmail.com

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post