Kawaida apokelewa kwa Kishindo Simiyu.

 



Na Costantine Mathias, Simiyu.


MWENYEKITI wa UVCCM Taifa (MCC), Mohamed Kawaida amewasili Mkoani Simiyu kwa ajili ya ziara ya kukagua uhai wa Jumuiya hiyo, kukagua miradi ya Maendeleo pamoja na kufanya Mkutano wilaya ya Itilima.


Ziara hiyo ni mwendelezo wa ziara ya siku 10 za moto akitolea Mkoani Mwanza ambapo amepokelea kwa nderemo na vifijo huku wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakijitokeza kumraki kiongozi huyo.


Mwisho.









Je, una Tangazo, Picha za Matukio, Taarifa au Habari ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi 0746057557 au 0765402289 au Email : simiyupresstz@gmail.com

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post