KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AONGOZA VIBE LA MKESHA ITILIMA.






KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025, Ismail Ussi ameongoza vibe la Mkesha wa Mwenge katika viwanja vya Halmashauri ya wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu, leo August 11, 2025.


Katika Mkesha huo wananchi mbalimbali kutoka vijiji vya wilaya ya Itilima wamejitokeza Kwa wingi huku michezo, burudani, kwaya na ngoma mbalimbali zikitumbuiza. 


Mwisho.









Je, una Tangazo, Picha za Matukio, Taarifa au Habari ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi 0746057557 au 0765402289 au Email : simiyupresstz@gmail.com

0 تعليقات

إرسال تعليق

Post a Comment (0)

أحدث أقدم