Mkuu wa Wilaya ya Meatu Mkoani Simiyu, Faudhia Ngatumbura (kulia) akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Itilima Anna Gidarya.Na COSTANTINE MATHIAS, Itilima.
MWENGE wa Uhuru 2025, umeingia katika wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu ukitokea wilaya ya Meatu Mkoani humo, ambapo utakimbizwa kilometa 115.3.
Mkuu wa Wilaya ya Itilima Anna Gidarya ameupokea mwenge huo kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Meatu Faudhia Ngatumbura na umepokelewa katika uwanja wa Shule ya msingi Gambasingu.
Ukiwa wikayani Itilima, mwenge huo utakagua, Kuzindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ya Maendeleo yenye thamani ya shilingi Bil.3.1.
Mwisho.




Post a Comment