MrJazsohanisharma

WASIRA AWASILI MEATU.

 

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Steven Wasira (kushoto), akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Kisesa Luhaga Mpina mara baada ya kuwasilisha.


Na COSTANTINE MATHIAS, Simiyu.


MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Steven Wasira amewasili wilayani Meatu Mkoani Simiyu ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake Kwa ajili ya kuzungumza na wanachama wa CCM, kusikiliza kero pamoja kukagua uhai wa CCM na Utekelezaji wa Ilani Uchaguzi 2020-2025

Akiwa Meatu, Wasira atafanya kikao cha ndani kwa ajili ya kuzungumza viongozi wa CCM ngazi ya Matawi, Kata, Wilaya, viongozi wa Dini pamoja na wazee maarufu.



Mwisho.


MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Steven Wasira (kushoto), akiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Shemsa Mohammed kwenye Kikao cha kuzungumza na viongozi wa CCM wilaya Meatu.











Je, una Tangazo, Picha za Matukio, Taarifa au Habari ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi 0746057557 au 0765402289 au Email : simiyupresstz@gmail.com

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post