MAGANGA ACHUKUA FOMU YA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MBOGWE.



Na Mwandishi wetu. Geita.


ALIYEKUWA Mbunge wa Jimbo la MBOGWE, Nicodemus Henry Maganga amechukua na kurejesha fomu ya kuwania kuteuliwa nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Mbogwe wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita. 


Maganga anachukua fomu hiyo ili kutetea nafasi aliyokuwa nayo ya Ubunge kutoka mwaka 2020 mpaka 2025.


Mwisho.







Je, una Tangazo, Picha za Matukio, Taarifa au Habari ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi 0746057557 au 0765402289 au Email : simiyupresstz@gmail.com

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post