MIRADI YA SHILINGI BIL. 15 KUFIKIWA NA MWENGE WA UHURU BARIADI MJINI.


Na  COSTANTINE MATHIAS, Simiyu.


MWENGE wa Uhuru 2025, umeingia katika wilaya ya Bariado Mkoani Simiyu ukitokea wilaya ya Itilima Mkoani humo, ambapo utakimbizwa kilometa 54.


Mkuu wa Wilaya ya Bariadi Simon Simalenga ameupokea mwenge huo kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Itilima Anna Gidarya na umepokelewa katika mtaa wa Kilulu


Ukiwa Halmashauri ya Mji wa Bariadii, mwenge huo utakagua, Kuzindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ya Maendeleo yenye thamani ya shilingi Bil.15.


Mwisho.








Je, una Tangazo, Picha za Matukio, Taarifa au Habari ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi 0746057557 au 0765402289 au Email : simiyupresstz@gmail.com

0 تعليقات

إرسال تعليق

Post a Comment (0)

أحدث أقدم