LEILA NGOZI, MGENI RASMI UWASILISHAJI ILANI BARIADI.



Na Costantine Mathias, Bariadi 


MJUMBE wa Kamati Kuu ya CCM na Mlezi wa Mkoa wa Pwani, Leila Ngozi amewasili katika Jimbo la Bariadi kwa ajili Uwasilishaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi kwa muda wa miaka mitano (2020/2025).


Ilani hiyo, inawasilishwa na Mbunge wa Jimbo hilo, Mhandisi Kundo Mathew mbele ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wilaya ya Bariadi pamoja na viongozi wengine wa Chama na Serikali.







Je, una Tangazo, Picha za Matukio, Taarifa au Habari ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi 0746057557 au 0765402289 au Email : simiyupresstz@gmail.com

0 تعليقات

إرسال تعليق

Post a Comment (0)

أحدث أقدم