WANA CCM WAFURIKA MKUTANO WA KUWASILISHA ILANI JIMBO LA BARIADI.



Na Costantine Mathias, Bariadi.


WAJUMBE wa Mkutano wa Mkuu wa CCM wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu wamejitokeza Kwa wingi kwenye Mkutano wa kuwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM 2020/2025, Jimbo la Bariadi.


Wajumbe hao ambao ni Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka kata 31 wamejitokeza kwa wingi katika viwanja vya Bariadi Alliance mjini Bariadi.


Mwisho.













Je, una Tangazo, Picha za Matukio, Taarifa au Habari ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi 0746057557 au 0765402289 au Email : simiyupresstz@gmail.com

0 تعليقات

إرسال تعليق

Post a Comment (0)

أحدث أقدم