REHEMA EVANCE ASHINDA TUZO ZA SAMIA KALAMU AWARD.

 




Na Costantine Mathias.


MWANDISHI wa Habari wa kituo cha Azam Tv Mkoa wa Simiyu, Rehema Evance ameibuka mshindi wa Tuzo za Samia Kalamu Award zilizokuwa zinafanyika Masaki Dome, Dar Es Salaam huku Rais Dk. Samia akiwa Mgeni Rasmi.


Tuzo hiyo ambayo imekabidhiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo kwa niaba ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan.



Tuzo hizo zinafanyika Kwa mara ya Kwanza nchini ambazo zimeandaliwa na Chama Cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA.


Mwisho.






Je, una Tangazo, Picha za Matukio, Taarifa au Habari ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi 0746057557 au 0765402289 au Email : simiyupresstz@gmail.com

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post