TAKUKURU SIMIYU KUZINDUA OFISI ZAO NYAUMATA.

 

Jengo la Ofisi za Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Simiyu.




Na COSTANTINE MATHIAS, Bariadi.


TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Simiyu (TAKUKURU), inazindua Jengo la Ofisi zake lililopo Mtaa wa Nyaumata kwenye Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu, leo Juni 10, 2025.


Mgeni Rasmi katika uzinduzi huo ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Boniface Simbachawene.



Mwisho.













Je, una Tangazo, Picha za Matukio, Taarifa au Habari ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi 0746057557 au 0765402289 au Email : simiyupresstz@gmail.com

0 تعليقات

إرسال تعليق

Post a Comment (0)

أحدث أقدم